Blogger Widgets Blogger Widgets

Wednesday, April 24, 2013

HEBU CHUKUA SEKUNDE ZAKO KADHAA KUMTIZAMA BOSS WAKO WA FACEBOOK

Relaxed: The couple were seen enjoying food from Bubba's Burgers at a picnic table with friends

Relaxed: The couple were seen enjoying food from Bubba's Burgers at a picnic table with friends

Inakadiliwa kuwa na utajiri unaofikia dola billioni 13.3 (kadilia kibongo bongo sh.ngapi? nipe jibu hapo chini kwenye comment box) lakini jamaa anaishi zake maisha ya kawaida tu kama hapa unavyomwona mark Zuckerberg na mke wake Priscilla Chan ambaye ni doctor wakiwa kwenye moja ya mitoko yao na friend zako wakitupia kitu cha baga

Stroll: Zuckerberg and his wife laughed as they passed Shave Ice Paradise - an Obama favorite

Taking it easy: The couple, who enjoyed smoothies with friends, also visited Hawaii last December

hata sendo wanavaa za kawaida zile unazozikutaga kariakoo  pamoja na kukabiliwa na scandal kuwa aliiba aidia ya facebook lakini mark ameonyesha hana time na madai hayo na badala yake anafanya yake

No comments: