Blogger Widgets Blogger Widgets

Monday, June 3, 2013

THE FINEST YA MWANA FA KUFANYIKA 14TH JUNE

Kabla ya show hii kuahirishwa kutokana na sababu za kutokea kwa Msiba wa mwanamuziki ALBERT MANGWEA show hii ilitakiwa kufanyika tarehe 31 may  lakini ya mungu mengi hivyo kumfanya Rapper Mwana Fa kuairishashow hiyo ili aweze kumsindikiza msanii mwenzie kwenye nyumba ya milele

Sasa show hiyo inategemea kufanyika tarehe 14 mwezi huu na mahali ni pale pale NATIONAL MUSEUM opposite chuo cha IFM ambapo dressin code ikiwa ni ile ile ya suit & tie ....keep good music alive

No comments: