Blogger Widgets Blogger Widgets

Monday, October 20, 2014

TAMASHA LA FIESTA LAFANA ALI KIBA & DIAMOND PLATINUMZ WAZUA GUMZO KWA MASHABIKI



                                   Ilikuwa ni sheeeddddaaa

Mkali wa steji,ambae amekuwa akifanya vyema kwenye matamasha mbalimbali,muite Kabyser ama Mr Blue akiimba jukwaani mbele ya umati wa watu waliofika kwenye tamasha la Fiesta 2014








Msanii kutoka nchini Marekani Clifford Haris a.k.a T.I akilishambulia jukwaa


                                            Ommy Dimpoz na Victoria Kimani

                                Davido na Diamond wakilishambulia jukwaa

                       Dangote,mara Chibu afu jazia na diamond Platnum akiwa kazini

Anaitwa Ally kiba ama muite K4real a.k.a Mwana Dar es salaam ambaye inaelezwa kutoka kwa mashabiki  kuwa alifanyo show nzuri na kufanya ushindani wake na Platinumz uongezeke mara dufu.(Usiniulize mshindi alikuwa nani?we mwenyewe unajua>>>>..)

                                   Msanii Linah (nyeupe) akiwa na skwadi lak

                                                                Abdulkiba

                                  Stamina na Ney wa Mitego wakikamua jukwaani

                          Mkali wa hip hop nchini Mwana-FA akiwaimbisha mashabiki wake

No comments: