Blogger Widgets Blogger Widgets

Monday, April 22, 2013

UTANIPA USINIPE MASHAKA MIE MTOTO MZURI




Unamkumbuka huyu jamaa hapa juu? jamaa aligonga sana vichwa vya watu wengi kwa track yake ya "moyo" mapenzi yakashika kasi akaona si vibaya kumtaja mtoto mzuri "selina" ilikuwa inaimbwa hivi "seli wangu we kimwana nataka tufunge ndoa nikuzalie na wana" baada ya kumwambia na kufunga ndoa na huyo binti wakaenda kula fungate mkashangaa jamaa kimya kumbe kule walikoenda si ndo mtoto hataki kumpa yote yale wanaita malovelove jamaa akaona bora amwambie "utanipa" hahahaaa namleta kwenu Allicom na hii ndo track yake mpya :

No comments: