Blogger Widgets Blogger Widgets

Saturday, September 14, 2013

HII NDIO ZAWADI ALIYOZAWADIWA OMMY DIMPOZ NA J MARTINS YENYE THAMANI YA TSH.MILLIONI 16

20130914-120143.jpg

Jana night a.k.a usiku kulikuwa na uzinduzi wa video ya Ay, Mwana FA & j martins " bila kukunja goti" ambapo pia ilikuwa ni siku ya kuazimisha miaka kadhaa ya Msanii  Ommy Dimpoz na Mc wa shughuli nzima alikuwa J martins , katika kuonyesha upendo wake j martins a star from nigeria alimzawadia Ommy gift hiyo ya mkufu yenye gharama ya dola 10000 za us kwa kibongo bongo ni zaidi ya shilingi millioni 16, zawadi yenyewe ndiyo hiyo unayoiona hapo.

20130914-120251.jpg

20130914-120333.jpg

No comments: