Ukisikia jeuri ya pesa basi hii ndiyo jeuri ya pesa, hii imetokea kwa young star ambaye sasa amezidisha vituko kutokana na kukumbwa na scandal nyingi si mwingine bali ni JB wengi wanamwita Justin Bieber baada ya juzi ijumaa kutinga club moja iitwayo gentlemen's club V Live ambapo JB aliingia akiwa na wapambe wake na baadae akajoin na bondia Floyd Mayweather.
JB akiwa na Floyd Mayweather pembeni akiwa stripper anayedai justin alimshika T**o
Baada ya mizuka kumpanda alijikuta akidance pamoja na strippers wanaopatikana katika club hiyo mbaya zaidi alikuwa akiwa watouch makalio ambapo ni nadra sana kwa artist wengine kufanya hivyo hata hivyo stripper mmoja alifurahia sana kitendo hicho cha kushikwa kalio na JB hadi akafunguka kwenye ukurasa wake wa twitter
'He touched my ass I almost fainted [sic],'"
'I've Danced For A lot Of Celebrities And They Normally Don't Phase Me But Justin just Had Me In Shock !''.aliongezea stripper
No comments:
Post a Comment