Blogger Widgets Blogger Widgets

Sunday, October 20, 2013

SEMINA YA HAKIMILIKI ILIYOSHIRIKISHA MAPRODUCER WA TZ

Hawa ni baadhi ya producers kutoka Tanzania ambao walihudhuria semina hiyo ambayo ilikuwa inawapa mwanga jinsi sheria ya haki miliki tanzania inavyoendeshwa na nini haki yao kama producers:Semina hiyo iliyoemdeshwa na John Kitime ambaye ni mwenyekiti wa Mtandao wa Wanamuziki, Semina hiyo ilifanyika katika jengo la Sayansi na Teknolojia

No comments: