Blogger Widgets Blogger Widgets

Thursday, February 28, 2013

Snoop Dogg kurelease 'Reincarnated' Album April 23

Rapper snoop double D anatarajia kuzindua album yake mpya april 23 akiwa sindikizwa na chriss brown,T.I, Busta Rhymes na Drake katika uzinduzi huo wa hiyo album yake ambayo ina mahadhi ya reggae  ingawa ukiangalia watu wanaomsindikiza kama vile T.I ni watu wanaofanya Hip-Hop na sio reggae mashabiki walitegemea snoop angesindikizwa na watu wanaofanya reggae kama mavado, Sean paul lakini imekuwa tofauti amewachagua marafiki zake marapper kwenye uzinduzi huo.

"I feel truly honored to make this album and respect to all who blazed the path for me."alisema snoop katika moja ya mahojiano yake kuhusu ujio huu wa album yake ya reggae, "This record is all about paying homage and giving respect to those who created and love reggae music, and hopefully introducing it to a whole new audience,"
haya wale wapenzi wa snoop na wapenzi wa reggae mzigo unadondoka April 23 kazi kwako kutingisha rasta>>>>

No comments: