Blogger Widgets Blogger Widgets

Friday, May 24, 2013

HATIMAE FOXY BROWN AKATAA ZILE TUHUMA ZILIZOENEA KUWA ALI"DO" NA JAY Z NA KUMWAMBUKIZA STD (MAGONJWA YANAYOTOKANA NA NGONO)

Foxy Brown is fighting back against a vicious rumor involving her and Jay-Z ..stori ni kuwa  eti Foxy Brown aliwahi kufanyiwa ule mchezo wa watu wakubwa wanaoufanya usiku wakiwa wameoana a.k.a tendo la ndoa na jay z wakati akiwa na miaka 15 na ndiye aliyemtoa bikra na wakati huo jay alikuwa na age ya miaka 27 na kuwa baada ya kumbikiri alimwambukiza magonjwa ya ngono(STD)  rumors hizo ambazo zinataka kushika kasi zimemfanya foxy kusimama na kujitetea kuwa si kweli na kwamba anamwuheshimu jiGGer na mkewe Beyonce na asingependa kumuharibia Cv jay kwa maneno hayo na yeye ndio anadai kasababisha yote hayo "Jay has only been wonderful to me and my family, a great friend throughout all the years I've known him and we had nothing but great success as a team," Foxy brown alibwabwaja maneno hayo

No comments: